Kwanini Nyimbo za Alikiba Huvuja Kabla ya Muda?

blogger templates
Imekuwa kawaida sana Ali kiba Kabla ya kutoa nyimbo zake huvuja mapema,Amepanga kuitoa Nyimbo yake mpya ya Aje kesho pamoja na video yake ikiianzia Mtv lakini bahati mbaya nyimbo tayari watu tunayo mda mrefu hata kabla ya kesho haijafika

Sasa najiuliza Lupela ilienda hivi na hii nayo ipo hivi hivi sijaelewa Alikiba ana matatizo Gani,katika Kutoa nyimbo zake kwanini zinatoka mapema kabla ya yeye ku relese na bahati mbaya huwa haizuii anaitoa kama ilivyo tatizo ni nini

Kwangu mimi bila unafiki Lupela ndo the Best kuliko hii nyimboo sijaona cha maana alicho kiimba yule alie shirikishwa zaidi ya kusema naweza kuimba kiswahili nakusema hicho kiswahili jamani Mziki ni kazi ngumu

0 Response to "Kwanini Nyimbo za Alikiba Huvuja Kabla ya Muda?"

Post a Comment