Masoud Kipanya Arejea Clouds FM Ataanza Kusikia Jumatano hii

blogger templates



Mtangazaji Masoud Kipanya Jumatano hii April 27 2016 atasikika tena kama mfanya kazi wa CloudsFM atasikika kwa mara nyingine tena Masoud ambaye alipata umaarufu sana kupitia vipindi mbalimbali vya CloudsFM toka kitambo hicho.

CMG (Clouds Media Group) wamethibitisha hilo kupitia page ya Instagram kwamba Mtangazaji Masoud Kipanya anarejea kufanya kazi na atasikika kwenye show ileile ya POWER BREAKFAST akiungana na Barbara Hassan na Fredwaa ikiwa ni baada ya Gerald Hando na PJ kumaliza mkataba wao na CMG

0 Response to "Masoud Kipanya Arejea Clouds FM Ataanza Kusikia Jumatano hii"

Post a Comment