Je Young hapa alikuwa anavuta bangi ? na kama ni bangi ni sawa kwa msanii kufanya hivi bongo kama tunavyoona nje kwa kina Wiz Khalifa.
News
Saturday, May 7, 2016
Young Dee Aporomoshewa Matusi Baada ya Kupost Picha Akivuta Bang
Usiku wa kuamkia May 6 2016 Paka Rapa Young Dee alipost picha akiwa
anavuta kitu ambacho mashabiki wake kwenye mtandao wa instagram
walitafsiri ni bangi na kuanza kumporomosshea comments kuwa anaelekea
kuwa kama Chidi Benz,
Je Young hapa alikuwa anavuta bangi ? na kama ni bangi ni sawa kwa msanii kufanya hivi bongo kama tunavyoona nje kwa kina Wiz Khalifa.
Je Young hapa alikuwa anavuta bangi ? na kama ni bangi ni sawa kwa msanii kufanya hivi bongo kama tunavyoona nje kwa kina Wiz Khalifa.
0 Response to "Young Dee Aporomoshewa Matusi Baada ya Kupost Picha Akivuta Bang"
Post a Comment