TRA: Sukari iliyokamatwa Mbagala na Tabata, Imeingia Nchini Kihalali, Haitagawiwa Bure

blogger templates
TRA wameachia huru Sukari iliyokamatwa Mbagala na Tabata kwa kile walichodai imeingia nchini kihalali

Sukari iliyoachiliwa ni zile tani elfu 6,757 iliyokutwa kwenye maghala Mbagala Dar es Salaam, baada ya kujiridhisha iliingizwa kihalali nchini.

My Take:

Mimi nlijua Sukari hiyo itagawiwa bure, Nashauri Serikali ipunguze Siasa katika Mambo ya Msingi. Mambo kama haya yanapunguza imani kwa Rais, Haiwezekani rais aseme Sukari itakayokamatwa igawiwe bure halafu nyie Mseme eti Sukari iliingizwa kihalali kwa kufuata taratibu zote.

Je, nani kamdanganya Rais?. Hakika Rais Magufuli anahujumiwa

0 Response to "TRA: Sukari iliyokamatwa Mbagala na Tabata, Imeingia Nchini Kihalali, Haitagawiwa Bure"

Post a Comment