Mbunge Sugu Achague Kuongea Kiswahili au Kiingereza Bungeni Anatuchanganya

blogger templates
Huyu mbunge Sugu akichangia hoja huwa anachanganya kiswahili na kiingereza ili aonekane msomi.Wakati hamna kitu.Ukimsikiliza tu anavyoongea unajua ana elimu ya kuunga unga akitafuta aonekane naye yumo yumo.

Ushauri wangu achague ama aongee kiswahili au kiingereza.Lakini hicho cha kuunga unga na kuokoteza okoteza maneno ya kiingereza anatuchanganya na kutukera

0 Response to "Mbunge Sugu Achague Kuongea Kiswahili au Kiingereza Bungeni Anatuchanganya"

Post a Comment