Cyrill Kamikaze Akanusha Kuwa na Uhusiano na Mrembo Kidoa

blogger templates
Rapper Cyrill Kamikaze amekanusha kuwa na uhusiano na video Queen wake wa katika video ya ‘Shori’ Kidoa.

Akiongea na E-Newz, Cyrill amesema kuwa yeye na video queen huyo ni washkaji tu. Kuna tetesi kuwa Cyrill alimtosa mwanamke wake wa zamani ili awe na mwananadada huyo.

Kuna picha ambayo Kidoa alipost na kuandika: He is ma real Ma, huku zikiwa zimebebwa na picha za Cyrill. Hata hivyo rapper huyo amekanusha kwa kudai, “Watu tu wameamua kuichukulia hivyo lakini hakuwa huko.

0 Response to " Cyrill Kamikaze Akanusha Kuwa na Uhusiano na Mrembo Kidoa"

Post a Comment