Akizungumza mara baada ya kuzinduliwa kwa Kitabu cha Muongozo kuhusu wa Usimamizi Rasilimali za Umma, Kaimu Katibu Mkuu wa Tume ya Mipango, Florence Mwanry alisema madai yaliyotolewa juzi na Mbowe bungeni si ya kweli.
News
Saturday, April 23, 2016
TUME YA MIPANGO YAMPA SOMO MBOWE JUU YA BAJETI
SIKU moja baada ya Kiongozi wa Kambi
Rasmi ya Upinzani bungeni, Mbunge wa Hai, Freeman Mbowe (Chadema), kudai
kuna uvunjifu wa sheria katika uhamishaji wa fedha zilizoidhinishwa na
Bunge, Tume ya Mipango imetoa ufafanuzi na kusema hakuna sheria
iliyovunjwa

Akizungumza mara baada ya kuzinduliwa kwa Kitabu cha Muongozo kuhusu wa Usimamizi Rasilimali za Umma, Kaimu Katibu Mkuu wa Tume ya Mipango, Florence Mwanry alisema madai yaliyotolewa juzi na Mbowe bungeni si ya kweli.
Akizungumza mara baada ya kuzinduliwa kwa Kitabu cha Muongozo kuhusu wa Usimamizi Rasilimali za Umma, Kaimu Katibu Mkuu wa Tume ya Mipango, Florence Mwanry alisema madai yaliyotolewa juzi na Mbowe bungeni si ya kweli.

0 Response to "TUME YA MIPANGO YAMPA SOMO MBOWE JUU YA BAJETI"
Post a Comment