SIMULIZI: RAYMOND asimulia alivyopata tabu Kabla ya Kukutana DIAMOND PLATNUM

blogger templates
Kabla ya kuchukuliwa WCB, Raymond alikuwa msanii mwenye kipaji ndani ya Tip Top Connection lakini maisha yalikuwa yakimwendea kombo.


Ilimlazimu kuvumilia na kusubiria zamu yake ya kutoka kwa muda mrefu kiasi ambacho hata ndugu zake kwao Mbeya walimkatia tamaa na kumsihi arudi tu.
“Namshukuru Mungu kwasababu nilishapata tabu sana. Kuna muda nilikuwa nakaa mwenyewe, sitaki kulia lakini machozi yananitoka kwasababu unapita kwenye situation ngumu, kuna muda unajiona una bahati mbaya,” anasema

0 Response to "SIMULIZI: RAYMOND asimulia alivyopata tabu Kabla ya Kukutana DIAMOND PLATNUM"

Post a Comment